Mtu yeyote anaweza kupata kifafa, katika umri wowote: 

  • changamoto wakati mama anapojifungua kutopata elimu/huduma vizuri, mfano ukosefu wa hewa (mtoto kuchelewa kulia), hypoglycemia (kiwango cha sukari kuwa chini kwa mtoto);
  • kutokana na baadhi ya vimelea (Wadudu) kama vile Malaria na “Neurocysticercosis” (Minyoo itokanayo na nyama ya nguruwe isiyoiva vizuri);
  • vinasaba (kurithi);
  • ajali (majeraha kichwani);
  • matatizo yatokanayo na kiharusi;
  • uvimbe kwenye ubongo;
  • sababu isiyojulikana